Escalation Process

Je, Umeridhika na Huduma

Zetu?

“ONGEA NASI”

 

DCB mteja kwetu ni mfalme, tutaendelea kutoa huduma zilizo bora ili kukidhi mahitaji ya wateja wetu huku tukihakikisha tunafuata kanuni na misingi ya huduma kwa wateja.

Tunatoa huduma zenye uweledi, rafiki na kwa wakati ili kuongeza thamani ya huduma zetu.

HATUA YA 1 I

MASAA 24

 

Wafanyakazi wa matawi ya DCB

Meneja uhusiano

 

Huduma kwa wateja

HATUA YA 2 I

SIKU 1-3

 

Ongea na meneja wa tawi

HATUA YA 3 I

SIKU 4-10

 

Ikiwa hujaridhika na majibu kutoka kwa meneja wa tawi wasiliana na meneja huduma kwa wateja Kupitia nambari ya simu +255222172201 au
barua pepe

customerexperience@dcb.co.tz

 

    HATUA YA 4I SIKU 11-15

 

Ikiwa hujaridhika na majibu kutoka kwa meneja Huduma kwa wateja wasiliana na Mkurugenzi wa Biashara kwa barua pepe info@dcb.co.tz au kupitia sanduku la posta

hapo chini

 

HATUA YA 5 I SIKU 16-21

Ikiwa hujaridhika na majibu kutoka kwa mkurugenzi wa biashara wasiliana na mkurugenzi mkuu  kupitia barua pepe info@dcb.co.tz au sanduku la posta hapo chini

 

DCB House, Magomeni mwembechai,

Morogoro Road,

S. L. P. 19798,

Dar es salaam, Tanzania.


Kulingana na kanuni za Benki kuu ya Tanzania, ikiwa mteja hajaridhika na njia ambayo benki imetatua malalamiko yake ; anaweza kukata rufaa kwa kujaza fomu Ya malalamiko na kuiwasilisha Benki Kuu ya Tanzania kwa Barua pepe au Sanduku la Posta. Fomu ya malalamiko ya Benki kuu inapatikana kwenye tovuti yetu ya
www.dcb.co.tz na matawi yote.

 

Asante kwa kutumia Huduma zetu za kibenki

  @dcbbanktz


www.dcb.co.tz

 

Get Help from Our Chatbot
x
ChatBot
Hi 👋! welcome to DCB Chatbot
Powered by The Bridge
This chat session has ended

Thank you for chatting with us, If you can take a minute and rate this chat:

Great
Bad